Wajumbe wa kamati Maalum iliyoundwa na Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakiendelea na majadiliano na timu kutoka kampuni ya Barrick Gold Corporation leo Septemba 7, 2017 kuhusu madai ya Tanzania juu ya upotevu wa fedha nyingi katika biashara ya madini ya dhahabu inayofanywa na kampuni hiyo hapa nchini. Majadiliano hayo yanafanyika jijini Dar es salaam
DKT. NCHIMBI: WATANZANIA PAMBANENI KUPATA KATIBA MPYA YENYE MWAFAKA
ITAKAYODUMU MIAKA 50
-
Na Janeth Raphael - MichuziTv
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi, amesema ikiwa angepewa nafasi ya kutoa uj...
2 hours ago

0 Comments