Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwa na mfanyabiashara maarufu Zanzibar Said Bakressa akitembelea Mradi wa Nyumba za Kisasa Fumba zinazojengwa na mfanyabiashara huyo katika eneo hilo la maeneo huru ya Uchumi Zanzibar akiwa katika ziara yake kutembelea Miradi ya Maendeleo katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
20 hours ago
0 Comments