Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwa na Mwenyekiti wa Tawi la CCM Bweleo akikagua Tawi hilo baada ya kuweka jiwe la msingi akiwa katika ziara yake kuimarisha Chama katika Mkoa wa Mjinii Magharibi Unguja.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
17 hours ago
0 Comments