DKT. NUMBI: LCCF 2026 NI JUKWAA MUHIMU KUPANUA FURSA ZA WATANZANIA KATIKA
SEKTA YA MADINI
-
📍MWANZA
Mwenyekiti wa Kamati ya Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya
Madini kutoka Tume ya Madini, Dkt. Theresia Numbi, amesema Jukwaa la Tano...
1 hour ago

1 Comments
Alichokisema Mzee Mkapa ndio ukweli wa mambo kuhusiana na vyombo vyetu vya habari. Ni vyombo ambavyo, nadhani vimekaa kiumbeumbea hivi na nadhani walishafanya utafiti kwamba Watanzania ni wavivu wa kusoma makala za habari za maendeleo na kwamba hushabikia makala za umbeaumbea na kwa kuwa wako kibiashara zaidi, basi huandika umbea ule utakaouza magazeti yao.
ReplyDeleteTujitafakari!
Tujitafakari!