MKUU wa Wilaya ya Mkoani Mhe:Hemed Suleiman
Abdalla, akimpatia mtoto mchanga chanjo katika hospitali ya Mama wajawazito na
watoto Gombani, katika uzinduzi wa Chanjo kwa watoto ya kitaifa kwa bara la
Africa kila ifikapo Aprili 24 ya kila mwaka.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN,PEMBA).
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
10 hours ago


0 Comments