BIASHARA ya Minazi katika kipindi hiki cha Mvua
zinazoendelea Kisiwani Pemba, imekuwa maradufu ambapo mche mmoja huuzwa kati ya
2,500/= hadi shilingi 3,000/=, pichani gari aina ya keri ikiwa imepakia miche
hiyo katika soko la Matunda Chake Chake.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN,PEMBA).
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
13 hours ago

0 Comments