Zanzibar ni njema atakaye aje ndivyo inavyoonekana wageni hao wakisema wakiwa katika Kijiji cha Nungwi wakitembea na baskeli kutembelea vijiji hivyo wakiwa katika matembezi yao ya Kitalii Zanzibar kwa kutembelea sehemu mbalimbali kwa ajuli ya kujionea maeneo ya historia ya Visiwa vya Zanzibar.
POLISI NA MADEREVA WA BAJAJI WASHIRIKI KUTOA FARAJA KWA WENYE MAHITAJI
WILAYANI ILEJE.
-
Kikosi cha usalama barabarani Wilaya ya Ileje kimeungana na wasafirishaji
wa abiria kwa kutumia bajaji kuwafariji na kuwasaidia wagonjwa waliolazwa
katik...
4 hours ago
0 Comments