6/recent/ticker-posts

Uchangiaji damu ulivyofanyika Micheweni, Pemba


SUALA la kuchangia damu kwa lengo la kuokoa maisha ya watu ni jukumu la kila mtu, pichani wananchi wakichangia damu katika uzinduzi wa huduma ya Uzazi wa Mpango huko Micheweni hivi karibuni.

(Picha na ABDI SULEIMAN,PEMBA.)

Post a Comment

0 Comments