BADO baadhi ya wazazi
wamekuwa wakipuuzia suala la kuwadhibiti watoto wao, kwenye biashara na hasa
wakati wa masomo, kama kamera yetu ilivyowanasa watoto hao, nje ya soko jipya
la mjini Wete Mkoa wa kaskazini Pemba, wakiuza mboga aina ya Mchicha, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
POLISI NA MADEREVA WA BAJAJI WASHIRIKI KUTOA FARAJA KWA WENYE MAHITAJI
WILAYANI ILEJE.
-
Kikosi cha usalama barabarani Wilaya ya Ileje kimeungana na wasafirishaji
wa abiria kwa kutumia bajaji kuwafariji na kuwasaidia wagonjwa waliolazwa
katik...
1 hour ago
0 Comments