BIASHARA ya tunda aina
ya Tikiti maji, imepooza katika siku za hivi karibuni kisiwani Pemba, licha ya
wakulima na wachuuzi wa bidha hiyo, kupunguza bei, lakini kumekuwa na tatizo la
wateja ingawa hata wakulima nao wameongezeka, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
TRAMEPRO YAONYA UTAPELI MITANDAONI,YATOA RAI KWA SERIKALI NA WANANCHI
-
Na Mwandishi Wetu
Shirika la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira (TRAMEPRO) limesema
linasikitishwa kuhusu kuongezeka kwa vitendo vya utapeli wa mitandaon...
2 hours ago
0 Comments