Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein akimtambulisha Mgombea Ubunge wa Jimbo la Dimani Ndg Ali Juma Ali wakati wa mkutano wa kampeni wa ufungaji uliofanyika katika uwanja wa skuli ya msingi Fuoni Wilaya ya Magharibi B Unguja. 
DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA
KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai
23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaam na
kukagua ...
12 hours ago
0 Comments