Kikosi cha Polisi Usalama barabarani kukataza kuchukua abiria kupita uwezo wa gari husika kuna baadhi ya madereva na utingo wa gari hizo hukiuka sheria hiyo na kuchukua abiria kupita kiasi na kuhatarisha usalama wa abiria hao kama ilivyokutwa gari hii ya daladala njia ya Mwanyanya ikiwa na abiria wakiwa wananing'inia katika kibao cha gari hiyo na kuhatarisha usalama wao.
Tanzania mgeni rasmi Maonesho ya Ufugaji Nyuki Afrika nchini Algeria
-
Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe Mobhare Matinyi, akizungumza na
vyombo vya habari vya Algeria wakati akitangaza kuwa Serikali ya Jamhuri ya
Muungan...
14 hours ago
0 Comments