Wafanyakazi wa Baraza la Manispaa Zanzibar wakifanya usafi katika eneo la kijangwani baada ya kuhama wafanyabiashara za mbao katika eneo hilo ili kupita ujenzi wa kituo cha kisasa cha daladala katika eneo hilo zamani kulikuwa na kituo cha mabasi.
PRESIDENT DR. MWINYI: ZANZIBAR AND INDIA TO STRENGTHEN COOPERATION IN
EDUCATION, TRADE AND TECHNOLOGY
-
The President of Zanzibar and Chairman of the Revolutionary Council, Hon.
Dr. Hussein Ali Mwinyi, has thanked the Government of India for its
continued e...
10 hours ago
1 Comments
Tunaishukuru serikali, najua piapatajengwa na maduka, isije kuwekwa office za kisiasa tu,serikali itakuwa haitutendei haki,jengine kabla ya ujenzi tupate hio planning ya kituo tutoe maoni yetu
ReplyDelete