Wanasema sasa hivi wao wanahangaikia maendeleo, jee hilo shirika si moja ya maendeleo ? Si watu watapata ajira? Au Nini maendeleo Kwa wakubwa wetu ? Ajinufaishe yeyé na aila yake ? Wengine tubaki tu na uchumi usio siha ? Mungu anakuoneni na sote tunaenda ardhini .....
hao mabwana zetu si washakataa kwani?, mana nilisikia lipo la Tanzania hakuna haja na Zanzibar kuanzisha lake
2 Comments
Wanasema sasa hivi wao wanahangaikia maendeleo, jee hilo shirika si moja ya maendeleo ? Si watu watapata ajira? Au Nini maendeleo Kwa wakubwa wetu ? Ajinufaishe yeyé na aila yake ? Wengine tubaki tu na uchumi usio siha ? Mungu anakuoneni na sote tunaenda ardhini .....
ReplyDeletehao mabwana zetu si washakataa kwani?, mana nilisikia lipo la Tanzania hakuna haja na Zanzibar kuanzisha lake
ReplyDelete