Sehemu ya tuta la kuzuia maji chumvi huko Ndagoni
Ujumbe wa Benki ya Dunia ukikagua mradi wa tuta la kuzuia maji chumvi huko shehia ya Ndagoni kisiwani Pemba. Mradi huu uko chini ya Tasaf
Ujumbe wa Benki ya Dunia ukipata maelezo juu ya mradi wa tuta la kuzuia maji chumvi huko Ndagoni
Baadhi ya miti ya mikoko iliyopandwa
Picha zote na Haji Nassor Pemba
KAMATI YA KITAIFA YA USIMAMIZI WA MAAFA YAIDHINISHA MPANGO WA DHARURA WA
TAIFA WA KUKABILIANA NA MADHARA YA EL NIÑO
-
Na.Mwandishi wetu - Dar es Salaam
Kamati ya Kitaifa ya Wataalamu ya Usimamizi wa Maafa imeidhinisha Mpango wa
Taifa wa Dharura wa Kukabiliana na Madhara ya...
14 hours ago
0 Comments