Waliosimama kutoka kulia Kocha Hussein Kheir, Haji Sheha, Amour Azizi, Rashid Tall, Hassan Mrisho Wembe, Ali Bushiri "Tanzania One", Meneja wa Timu hiyo Naushad Mohammed waliochuchumaa kutoka kushoto, Ali Shariff "Adolf" Mbegu Mohammed, Ali Nassor "Kibichwa" wengine utamalizia wewe........
POLISI NA MADEREVA WA BAJAJI WASHIRIKI KUTOA FARAJA KWA WENYE MAHITAJI
WILAYANI ILEJE.
-
Kikosi cha usalama barabarani Wilaya ya Ileje kimeungana na wasafirishaji
wa abiria kwa kutumia bajaji kuwafariji na kuwasaidia wagonjwa waliolazwa
katik...
1 hour ago
0 Comments