MGOMBEA Urais wa Zanzibar kwa chama cha AFP
Mhe:Saidi Soud Saidi, akizungumza na waandishi wa habari kutoka katika vyombo
mbali mbali vya habari, mara baada ya kupiga kura katika kituo chake cha
Kupigia kura Mgogoni Jimbo la Wawi Kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
KAMATI YA KITAIFA YA USIMAMIZI WA MAAFA YAIDHINISHA MPANGO WA DHARURA WA
TAIFA WA KUKABILIANA NA MADHARA YA EL NIÑO
-
Na.Mwandishi wetu - Dar es Salaam
Kamati ya Kitaifa ya Wataalamu ya Usimamizi wa Maafa imeidhinisha Mpango wa
Taifa wa Dharura wa Kukabiliana na Madhara ya...
6 hours ago
0 Comments