MBUNGE wa jimbo la Wawi Kisiwani Pemba, Mhe: Hamad
Rashid Mohamed analiwakilisha bunge Tanzania katika bunge la Europa,
akiwaonesha wabunge wenzake wa Europa kutoka nchini Ireland, mwani unaolimwa na
wananchi wa Tumbe Wilaya ya Micheweni kisiwani Pemba, wakati wa ziara ya
wabunge hao wa AWEPA.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Wilaya ya Mkoani Kisiwani Pemba, Mhe:Hemed Suleiman Abdalla, akizungumza na wabunge wa Bunge la Awepa kutoka nchini Irelanda, walipofanya ziara ya kutembelea bwawa la kufugia samaki huko Mwambe, katika ziara yao ya kuangalia miradi ya wananchi.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
Tanzania mgeni rasmi Maonesho ya Ufugaji Nyuki Afrika nchini Algeria
-
Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe Mobhare Matinyi, akizungumza na
vyombo vya habari vya Algeria wakati akitangaza kuwa Serikali ya Jamhuri ya
Muungan...
8 hours ago
0 Comments