Wananchi wakimuangalia dereva wa gari ndogo iliogongana na daladala katika makutano ya barabara ya michezani na kariakoo, katika ajali hiyo hakuna mtu aliyejeruhiwa na kuumia
POLISI NA MADEREVA WA BAJAJI WASHIRIKI KUTOA FARAJA KWA WENYE MAHITAJI
WILAYANI ILEJE.
-
Kikosi cha usalama barabarani Wilaya ya Ileje kimeungana na wasafirishaji
wa abiria kwa kutumia bajaji kuwafariji na kuwasaidia wagonjwa waliolazwa
katik...
4 hours ago
0 Comments