Wafanyakazi wa Taasisi mbali mbali zilizokodi katika, jengo la ZSSF,wakiwa nje ya Ofisi zao baada ya kutokea Shoti ya Umeme katika jengo hilo lilioko Mwanakwerekwe Unguja jana, katika ajali hiyo hakuna madhara yoyote yaliotokea.
DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA
KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai
23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaam na
kukagua ...
12 hours ago
0 Comments