DKT. NUMBI: LCCF 2026 NI JUKWAA MUHIMU KUPANUA FURSA ZA WATANZANIA KATIKA
SEKTA YA MADINI
-
📍MWANZA
Mwenyekiti wa Kamati ya Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya
Madini kutoka Tume ya Madini, Dkt. Theresia Numbi, amesema Jukwaa la Tano...
3 hours ago
1 Comments
Yaani hawa Waomani mimi hata siwaelewi!..Yaani ukiangalia historia ya Oman na Z'bar na tulikotokea!..Huwezi kuamini kama wangeweza kuiacha Z'bar ktk hali ya umaskini!
ReplyDeleteMimi naamini kama wangeisaidia Z'bar, isingekua faida tu kwa serikali au kwetu sisi'gozi gozi' bali hata kwa ndugu zao wa damu ambao bado wapo hapa na wataendelea kuwepo Z'bar kwa vile pamesha kua pao.
Tuseme wasije kutusaidia, basi hata kuja kutembelea yale magofu yao na makaburi ya babu zao..wanashindwa na wazungu?..ama Warabu kiboko!!..Mungu awasaidie!!