6/recent/ticker-posts

TAKWIMU ZA UKATILI NA UDHALILISHAJI WA KIJINSIA MWEZI WA JULAI ZARIPOTIWA ZANZIBAR

Mtakwimu kutoka Divisheni ya Takwimu za Jinsia na Ajira Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Ahmada Hassan Suleiman akiwasilisha Takwimu za matukio ya Ukatili na Udhalilishaji wa Kijinsia kwa Waandishi wa Habari ambapo jumla ya Matukio 138 ya Ukatili na Udhalilishaji wa Kijinsia yameripoiwa Mwezi wa Julai 2026 hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Mazizini Zanzibar.
Baadhi ya Waandishi wa Habari waliohudhuria katika hafla ya Uwasilishwaji wa Takwimu za matukio ya Ukatili na Udhalilishaji wa Kijinsia ambapo jumla ya Matukio 138 ya Ukatili na Udhalilishaji wa Kijinsia yameripoiwa Mwezi wa Julai 2026 hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Mazizini Zanzibar.

Baadhi ya Waandishi wa Habari waliohudhuria katika hafla ya Uwasilishwaji wa Takwimu za matukio ya Ukatili na Udhalilishaji wa Kijinsia ambapo jumla ya Matukio 138 ya Ukatili na Udhalilishaji wa Kijinsia yameripoiwa Mwezi wa Julai 2026 hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Mazizini Zanzibar.

Mwandishi wa Habari kutoka Gazeti la Zanzibar Leo Fauzia Mussa alipohudhuria katika hafla ya Uwasilishwaji wa Takwimu za matukio ya Ukatili na Udhalilishaji wa Kijinsia ambapo jumla ya Matukio 138 ya Ukatili na Udhalilishaji wa Kijinsia yameripoiwa Mwezi wa Julai 2026 hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Mazizini Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI,MAELEZO ZANZIBAR.19/08/2026.

Post a Comment

0 Comments