Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla amejumuika na waumini wa Dini ya Kiislamu katika Ibada ya Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa Masjid Jamii Zinjibar Mazizini, Mkoa wa Mjini Magharibi.
Imetolewa na Kitengo cha Habari ( OMPR )
Leo tarehe 17 Julai, 2026

0 Comments