Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, leo tarehe 7 Juni, 2026 amempatia msaada wa kiti mwendo kipya mlemavu wa miguu, Bi. Elizabeth Mnyeke mkazi wa Mkoa wa Iringa ambaye hivi karibuni aliomba kupatiwa msaada huo baada ya kumalizika kwa mkutano wa hadhara alioufanya eneo la Ismani, Julai 5, 2026, mkoani Iringa . PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
20 hours ago




0 Comments