6/recent/ticker-posts

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Mwigulu Nchemba Ametowa Msaada wa Kiti Mwendo kwa Mlemavu Iringa

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, leo tarehe 7 Juni, 2026 amempatia msaada wa kiti mwendo kipya mlemavu wa miguu, Bi. Elizabeth Mnyeke mkazi wa Mkoa wa Iringa ambaye hivi karibuni aliomba kupatiwa msaada huo baada ya kumalizika kwa mkutano wa hadhara alioufanya eneo la Ismani, Julai 5, 2026, mkoani Iringa  . PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU




 

Post a Comment

0 Comments