6/recent/ticker-posts

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na Kuzungumza na Rais wa Shirikisho la Urusi Mhe. Vladmir Putin katika Ikulu ya Kremlin Jijini Moscow

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Shirikisho la Urusi Mhe. Vladmir Putin mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya Kremlin Jijini Moscow, tarehe 03 Juni, 2026.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Shirikisho la Urusi Mhe. Vladmir Putin katika Ikulu ya Kremlin Jijini Moscow, tarehe 03 Juni, 2026.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na mwenyeji wake Rais wa Shirikisho la Urusi Mhe. Vladmir Putin wakati akipokea Heshima ya wimbo wa Taifa wa Tanzania katika Ikulu ya Kremlin Jijini Moscow, tarehe 03 Juni, 2026.


 

Post a Comment

0 Comments