Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi 2026), Mkoani Njombe tarehe 01 Mei, 2026.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwapungia mkono Wafanyakazi waliokuwa wakipita mbele ya Jukwaa Kuu katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi 2026), ambayo Kitaifa yamefanyika Mkoani Njombe, tarehe 01 Mei, 2026..jpeg)
Wafanyakazi wa Wizara mbalimbali, Taasisi za umma na binafsi wakipita na magari wanayoyatumia katika shughuli zao za kila siku, mbele ya Jukwaa Kuu kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi 2026) ambayo Kitaifa yamefanyika Mkoani Njombe, tarehe 01 Mei, 2026.
Wafanyakazi wa Wizara mbalimbali, Taasisi za umma na binafsi wakipita mbele ya Jukwaa Kuu katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi 2026) ambayo Kitaifa yamefanyika Mkoani Njombe, tarehe 01 Mei, 2026.










0 Comments