Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, akiongoza kikao cha Timu ya Wataalamu wa Wizara ya Fedha na wa IMF, kilichofanyika katika Ofisi za Wizara ya Fedha, Treasury Square, jijini Dodoma, ambacho kinajadili tathmini katika program mbalimbali zinazofadhiliwa na IMF nchini.
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Emmanuel Tutuba, akifafanua jambo wakati wa kikao cha Timu ya Wataalamu wa Wizara ya Fedha na wa IMF, kilichofanyika katika Ofisi za Wizara ya Fedha, Treasury Square, jijini Dodoma, ambacho kinajadili tathmini katika program mbalimbali zinazofadhiliwa na IMF nchini.
Kiongozi wa Timu ya wataalamu kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Bw. Nicolas Blancher, akizungumza wakati wa kikao cha Timu ya Wataalamu wa Wizara ya Fedha na wa IMF, kilichofanyika katika Ofisi za Wizara ya Fedha, Treasury Square, jijini Dodoma, ambacho kilijadili tathmini ya program mbalimbali zinazofadhiliwa na IMF nchini.
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Emmanuel Tutuba, akiteta jambo na Kiongozi wa Timu ya wataalamu kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Bw. Nicolas Blancher, baada ya kikao cha Timu ya Wataalamu wa Wizara ya Fedha na wa IMF, kilichofanyika katika Ofisi za Wizara ya Fedha, Treasury Square, jijini Dodoma, ambacho kinajadili tathmini katika program mbalimbali zinazofadhiliwa na IMF nchini.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, akiagana na Kiongozi wa Timu ya wataalamu kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Bw. Nicolas Blancher, baada ya kufungua kikao kikao cha Timu ya Wataalamu wa Wizara ya Fedha na wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), kilichofanyika katika Ofisi za Wizara ya Fedha, Treasury Square, jijini Dodoma, ambacho kitajadili tathmini katika program mbalimbali zinazofadhiliwa na IMF nchini
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, na Kiongozi wa Timu ya wataalamu kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Bw. Nicolas Blancher, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kufungua wakati wa kikao cha Timu ya Wataalamu wa Wizara ya Fedha na wa IMF, kilichofanyika katika Ofisi za Wizara ya Fedha, Treasury Square, jijini Dodoma, ambacho kilijadili tathmini katika program mbalimbali zinazofadhiliwa na IMF nchini. Kutoka kulia ni Kaimu Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bw. Rished Bade na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Emmanuel Tutuba. Kushoto ni Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Bw. Sebastian Acevedo.
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Dodoma)




.jpg)
0 Comments