6/recent/ticker-posts

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Mwigulu Nchemba Azungumza na Balozi wa Qatar Nchini

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na Balozi wa Qatar nchini, Fahad Rashid Al-Marekhi, Ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma.
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na Balozi wa Qatar nchini, Fahad Rashid Al-Marekhi, Ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma, Aprili 8, 2026
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Qatar nchini, Fahad Rashid Al-Marekhi, Ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma, Aprili 8, 2026. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Post a Comment

0 Comments