Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na Balozi wa Qatar nchini, Fahad Rashid Al-Marekhi, Ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma.
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na Balozi wa Qatar nchini, Fahad Rashid Al-Marekhi, Ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma, Aprili 8, 2026
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Qatar nchini, Fahad Rashid Al-Marekhi, Ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma, Aprili 8, 2026. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 Comments