Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akihitimisha Hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu na taasisai zilizo chini yake pamoja na Mfuko wa Bunge ya mwaka 2026/27, Bungeni jijini Dodoma, Aprili 15, 2026. Bunge limepitisha bajeti ya Shilingi Trilioni 12.5 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akipongezwa na Wabunge baada kuhitimisha Hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu na taasisi zilizo chini yake pamoja na Mfuko wa Bunge ya mwaka 2026/27, Bungeni jijini Dodoma, Aprili 15, 2026. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 Comments