Kikosi cha Timu ya Muembemakumbi City kilichokubali kipigo cha Bao 4-0 Dhidi ya Timu ya Yanga katika mchezo wa Ufunguzi wa Michuano ya Kombe la Muungano uliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.
Kikosi cha Timu ya Yanga Mabingwa Watetezi wa Kombe la Muungano 2025/2026 kilichotowa kipigo cha bao 4-0 Dhidi ya Timu ya Muembemakumbi City, mchezo uliyofanyika katika uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
1 day ago
















0 Comments