WACHEZAJI wa Timu ya Mlandege wakishangilia bao
lao la kusawazisha lililofungwa na Mchezaji Omar Juma ,wakati wa mchezo waRobo
Fainali Kombe la Muungano dhidi ya Timu ya Singida, mchezo uliyofanyika katika Uwanja
wa New Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Mlandege imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1
na kutinga hatua ya Nusu Fainali.
MSHAMBULIAJI wa Timu ya Singida Lamin Jarjou
akijaribu kumpita beki wa Timu ya Mlandege Said Mussa, wakati wa mchezo wao wa
Robo Fainali Kombe la Muungano, mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan
Complex Zanzibar Timu ya Mlandege imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1 na kutinga
hatua ya Nusu Fainali 



0 Comments