6/recent/ticker-posts

Mchezo wa Robo Fainali Kombe la Muungano 2026 Kati ya Mlandege na Singida BS Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa New Amaan Complex Timu ya Mlandege Imeshinda Mchezo huo kwa Bao 2-1


 WACHEZAJI wa Timu ya Mlandege wakishangilia bao lao la kusawazisha lililofungwa na Mchezaji Omar Juma ,wakati wa mchezo waRobo Fainali Kombe la Muungano dhidi ya Timu ya Singida, mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Mlandege imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1 na kutinga hatua ya Nusu Fainali.

MSHAMBULIAJI wa Timu ya Singida Lamin Jarjou akijaribu kumpita beki wa Timu ya Mlandege Said Mussa, wakati wa mchezo wao wa Robo Fainali Kombe la Muungano, mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar Timu ya Mlandege imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1 na kutinga hatua ya Nusu Fainali 


Post a Comment

0 Comments