6/recent/ticker-posts

DKT. MWIGULU AKAGUA UWANJA WA MPIRA WA MIGUU ARUSHA

Muonekano wa uwanja wa mpira wa miguu uliopo mkoani Arusha ambao utatumika kwa ajili ya michuano ya AFCON, itakayofanyika kwenye nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Mheshimiwa Dkt. Mwigulu ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi ya uwanja huo leo Aprili 17, 2026 mkoani Arusha.



Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akipewa maelezo na Msimamizi wa Shughuli za Mkandarasi Denis Benito Mtemi kuhusu maendeleo ya ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu wa Arusha ambao utatumika kwa ajili ya michuano ya AFCON, itakayofanyika kwenye nchi za Tanzania, Kenya na Uganda Mwaka 2027.Dkt. Mwigulu ametembelea uwanja huo Aprili 17, 2026 mkoani Arusha.
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza wakati akipokea taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu wa Arusha ambao utatumika kwa ajili ya michuano ya AFCON, itakayofanyika kwenye nchi za Tanzania, Kenya na Uganda, Aprili 17, 2026 mkoani Arusha (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 

Post a Comment

0 Comments