Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba (wa pili kulia), Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Mipango ambaye pia ni Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Dkt. Tausi Kida (kushoto), Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Bw. Sosthenes Kewe (kulia), wakimkabidhi kitabu cha Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050, Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Kujenga Uwezo Afrika (The African Capacity Building Foundation-ACBF), Bw. Mamadou Biteye, ili kuanza kusaidia mafunzo yatakayotolewa na taasisi hiyo kwa wataalamu wa Tanzania kuakisi Dira hiyo, baada ya kikao chao kilichofanyika katika Ofisi za Ubalozi wa Tanzania jijini Washington D.C nchini Marekani, pembezoni mwa Mikutano ya Kipupwe ya Benki ya Dunia na IMF (2026 IMF/WBG Spring Meetings) inayofanyika, Jijini humo. 

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba (kulia), Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Mipango ambaye pia ni Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Dkt. Tausi Kida (kushoto), na Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Kujenga Uwezo Afrika (The African Capacity Building Foundation-ACBF), Bw. Mamadou Biteye, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kikao chao kilichofanyika katika Ofisi za Ubalozi wa Tanzania jijini Washington D.C nchini Marekani, pembezoni mwa Mikutano ya Kipupwe ya Benki ya Dunia na IMF (2026 IMF/WBG Spring Meetings) inayofanyika, Jijini humo, ambapo walijadili masuala mbalimbali ya kujengea uwezo wataalamu nchini.
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Washington D.C, Marekani)

0 Comments