Wananchi wa Kijiji cha KIDEMENI Shehia ya Kwale Wilaya ya Chake chake wamepaza sauti zao kuiomba serikali kuwasaidia kuimarisha upatikanaji wa huduma muhimu katika kijiji chao ili waweze kuondokana na adhabu wanazozipata na kuwaathiri wanawake na watoto ,ambapo wamesema kwa muda mrefu sasa upatikanaji wa huduma hizo muhimu umekuwa ni wakusua sua jambo ambalo linaendelea kuwarudisha nyuma kimaendeleo huku wakijihisi kutengwa katika kuyafikia maendeleo,huduma hizo ni pamoja na huduma mbovu za mawasiliano, Ubovu wa njia , ukosefu wa maji ya #ZAWA wanafunzi kusoma katika nyumba ya mzazi aliejitolea kusomesha kupitia ukumbi wake
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
13 hours ago




0 Comments