6/recent/ticker-posts

Benki ya Exim Tanzania Yazindua Tawi Jipya Mkoa Kusini Unguja Kijiji Cha Paje

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Dkt. Juma Malik Akili akikata utepe kilifungua Tawi jipya la Benki ya Exim Tanzania Paje Mkoa wa Kusini Unguja na (kulia kwake) Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Exim Tanzania . Jafari Matundu (kulia kwake) Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya Exim Tanzania. Andrew Lyimo na (kushoto kwa Waziri) Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja, Mhe. Othman Ali Maulid, ufunguzi huo uliyofanyika katika Kijiji cha Paje, kusongeza huduma za Kibenki kwa Wananchi na Wafanyabiashara wa Mkoa wa Kusini Unguja  kusaidia katika kukuza Utalii na uchumi wa buluu  wa Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt Juma Malik Akil akiweka Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Tawi Jipya la Benki ya Exim Tanzania Paje Mkoa wa Kusini Unguja na (kushoto) Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Exim Tanzania  Jafari Matundu, uzinduzi huo uliyofanyika katika Kijiji cha Paje Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja.



 

Post a Comment

0 Comments