Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan akizungumza na Katibu Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii (UN Tourism), Bi. Shaikha Nasser Al Nowais pembezoni mwa mkutano wa Jukwaa la Serikali za Dunia (WGS2026), tarehe 03 Februari, 2026 Madinat Jumeirah, Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), ambapo walijadili kuhusu kuimarisha ushirikiano wa Tanzania na UN Tourism katika undeshaji wa shughuli za utalii, ikiwemo utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati katika sekta hiyo nchini.
PRESIDENT DR. MWINYI: ZANZIBAR AND INDIA TO STRENGTHEN COOPERATION IN
EDUCATION, TRADE AND TECHNOLOGY
-
The President of Zanzibar and Chairman of the Revolutionary Council, Hon.
Dr. Hussein Ali Mwinyi, has thanked the Government of India for its
continued e...
2 hours ago


0 Comments