Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) anayesimamia Utawala na Udhibiti wa Ndani, Dkt. Rahma Salim Mahfoudh, amewasili katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya BoT jijini Dar es Salaam, ambapo amepokelewa na Gavana wa BoT, Bw. Emmanuel Tutuba, pamoja na viongozi waandamizi wa Benki Kuu, tayari kwa kuanza kutekeleza majukumu yake mapya.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
1 day ago
.jpeg)
.jpeg)

0 Comments