Mratibu wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mabadiliko ya Kiuchumi (HEET) wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Prof. Salum Seif Salum (aliyekaa upande wa kushoto) akifuatilia kwa umakini Mafunzo ya Maandalizi ya Ufungaji wa Mradi huo kutoka kwa Muezeshaji Mtaalamu wa Suala ya Jamii katika Ukumbi wa Council Member, Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
1 day ago


0 Comments