Waziri wa Habari Sanaa Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe.Dkt,Riziki Pembe Juma akizungumza na Wajumbe wa Kamati mbalimbali za Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026 , wakati wa hafla za uvunjaji wa Kamati mbalimbali za NMB Mapinduzi Cup 2026 na kukabidhiwa Ripoti ya Michuano hiyo iliyomalizika hivi karibuni na kupatikana Bingwa wa NMB Mapinduzi Cup Timu ya Yanga katika mchezo wa Fainali uliyofanyika Uwanja wa Gombani Pemba kuibuka mshindi kwa kuifunga Timu ya Azam,hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya New Amaan Complex Zanzibar.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
1 day ago






0 Comments