Kikosi cha Timu ya Singida Big Star kinachoshiriki Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2025, katika mashindano hayo imetoka sare ya bao 1-1, dhidi ya Timu ya Azam FC mchezo uliofanyika usiku 31-12-2025 katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
10 hours ago


0 Comments