Mchezaji wa Timu ya African Magic Y. Abdi akiwa na mpira akijiandaa kumpita mchezaji wa Timu ya Kwerekwe Yankees A.Adil, wakati wa mchezo wao wa Kikapu Ligi Kanda ya Unguja mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya African Magic imeshinda mchezo huo kwa Vikapi 75-49.
NGORONGORO NI ZAIDI YA KRETA.
-
Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro inaendelea kuvitangaza vivutio vya
utalii vilivyopo ndani na nje ya Ngorongoro ili kuidhihirishia dunia kuwa
eneo ...
19 hours ago















0 Comments