Mchezaji wa Timu ya Malindi akiwa anamiliki mpira huku wabeki wa Timu ya KMKM wakijaribu kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar , mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedung. timu hizo zimetoka sare ya 0-0.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
10 hours ago








0 Comments