Mshambuliaji wa Timu ya Junguni na beki wa timu ya Uhamiaji wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ mchezo uliyofanyika leo 20-10-2025 Uwanja wa Mao Zdung.Timu ya Uhamiaji imeshinda mchezo huo kwa bao 4-0.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
16 hours ago









0 Comments