Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni akishiriki mazishi ya Kiongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo,Marehemu Ali Mohamed Kibao aliyetekwa na kukutwa ameuawa siku chache zilizopita ambapo amzishi yake yamefanyika leo jijini Tanga.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
MUHIMBILI, CAMBRIDGE WAZINDUA UTAFITI WA VINASABA KULETA MAPINDUZI KATIKA
TIBA YA SARATANI YA TEZI KWA WATOTO AFRIKA
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha
Cambridge cha Uingereza, wameaanzisha utafiti wa vinasaba unaolenga
kuboresha mati...
7 hours ago
0 Comments