Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezi Tabia Maulid Mwita akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Mashine na Mitambo KMKM (C,D,R)Kamanda Haji Mohamed Abuu kuhusiana na Ujenzi wa Ofisi na Hanga la Maaskari wa KMKM katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la msingi Jengo hilo Kibwengo Kaskazini Unguja Ikiwa ni Shamra Shamra za miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
MUHIMBILI, CAMBRIDGE WAZINDUA UTAFITI WA VINASABA KULETA MAPINDUZI KATIKA
TIBA YA SARATANI YA TEZI KWA WATOTO AFRIKA
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha
Cambridge cha Uingereza, wameaanzisha utafiti wa vinasaba unaolenga
kuboresha mati...
1 hour ago
0 Comments