Mshambuliaji wa Timu ya Singida Big Stars akijaribu kumpita beki wa Timu ya Mlandege katika mchezo wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi Cup, mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Mlandege imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.
SERIKALI YAPONGEZA CHUO CHA UFUNDI ARUSHA KWA UJENZI WA KARAKANA YA
UZALISHAJI VIPURI
-
Na Seif Mangwangi, Michuzi TV, Arusha
SERIKALI imeipongeza Menejimenti na uongozi wa chuo cha ufundi Arusha
(ATC), kutokana na bunifu mbalimbali zinazoende...
10 hours ago
0 Comments