Beki wa Timu ya Jangombe Boys akijaribu kumzuiya mchezaji wa Timu ya Raskazone mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Unguja Jijini Zanzibar Timu ya Raskazone imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
KATIBU MKUU CCM AZUNGUMZA NA WABUNGE WA EALA TANZANIA.
-
DODOMA | 24 Julai 2026
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro,
amekutana na Wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki...
20 hours ago
0 Comments