Ujumbe wa Serikali ya Tanzania unaoongozwa na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, Prof. Jamal Katundu kwa kushirikiana na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Fatma Rajab umetembelea Uwanja wa Kimataifa wa Khalifa ulipo Jijini Doha, Qatar. Uwanja huo pia unajulikana kama Uwanja wa Taifa, ni moja kati ya uwanja utakaotumika kwenye mashindano ya Kombe la Dunia yatakayoanza mwezi Novemba 2022.
PRESIDENT DR. MWINYI: ZANZIBAR AND INDIA TO STRENGTHEN COOPERATION IN
EDUCATION, TRADE AND TECHNOLOGY
-
The President of Zanzibar and Chairman of the Revolutionary Council, Hon.
Dr. Hussein Ali Mwinyi, has thanked the Government of India for its
continued e...
2 hours ago


0 Comments