Beki wa Timu ya Taifa ya Jangombe akijaribu kumzuiya mshambuliaji wa Timu ya Polisi wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ Premier League mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Unguja Jijini Zanzibar.Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana mchezo uliofanyika 20-9-2022.
MWENYEKITI WA WAZAZI TAIFA AWAASA VIONGOZI WA CCM NA JUMUIYA ZSKE KUTATUA
MIGOGORO YA ARDHI
-
Na Victor Masangu, Kibaha
Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi Taifa Ndg. Fadhili Maganya amewaasa
viongozi wa chama cha mapinduzi (CCM) ngazi za Wilaya p...
17 hours ago
0 Comments