Usafiri wa Gari za Abiria maarufu kwa Taxi katika Visiwa vya Zanzibar miaka hiyo gari hizi zilikuwa zikitoa huduma ya usafiri kwa Wananchi na Wageni wanapowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar. Kwa sasa Gari hizi zimekuwa adimu kuonekana ni moja ya Historia ya Zanzibar gari hizi zimekuwa zikitimoka dahi katika miaka ya 90 zilikuwa zikitowa huduma ya Taxi Unguja na Pemba.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
13 hours ago


0 Comments